| ||||||||||||||
| ||||||||||||||
|
||||||||||||||
| AINA ZA HATARI / MFIDUO | MADHARA YA PAPO HAPO / DALILI | KINGA | HUDUMA YA KWANZA / UZIMAJI MOTO |
| MOTO |
Huungua mno.
|
Usiwashe moto, usiwashe cheche, usivute sigara.
|
Funga ugavi; kama haiwezekani na hakuna hatari kwa mazingira, acha moto uwake hadi ujizime; ama sivyo zima kwa kutumia dioksidi kaboni, mnyunyizo wa maji, poda.
|
| MLIPUKO |
Michanganyiko ya gesi/hewa hulipuka.
|
Mfumo funge, uingizaji hewa, na vifaa vya umeme na taa visivyolipuka. Tumia vifaa vya mkono visivyotoa cheche.
|
Utokeapo moto: poza silinda kwa kunyunyizia maji. Zima moto ukiwa mahali pa usalama.
|
| MFIDUO |
|
EPUKA MFIDUO KWA WANAWAKE (WAJAWAZITO)!
|
KWA HALI YOYOTE MWONE DAKTARI!
|
| Kuvuta pumzi |
Kuchanganyikiwa. Kizunguzungu. Kuumwa kichwa. Kichefuchefu. Kupoteza fahamu. Udhaifu.
|
Uingizaji hewa, mtambo wa kutolea nje, au kinga ya kupumulia.
|
Hewa safi, mapumziko. Pumulisha iwapo imeelezwa. Mpeleke kwa matibabu.
|
| Ngozi |
|
|
|
| Macho |
|
|
|
| Kumeza |
|
|
|
| KUSAFISHA MWAGIKO | UFUNGASHAJI / UWEKAJI LEBO | |||||||
|
Ondoka katika eneo la hatari. Shauriana na mtaalam. Uingizaji hewa. (Kinga ya ziada ya binafsi: vifaa vya kupumulia vilivyo toshelevu).
|
Ainisho ya EU Alama: F+, T R: 61-12-23-48/23 S: 53-45 Angalia: [E] Ainisho ya UN Ainisho ya UN ya Hatari: 2.3 Jasara tanzu za UN: 2.1 | |||||||
| HATUA ZA HARAKA | UHIFADHI | |||||||
|
Kadi ya Dharura ya Usafiri: TEC(R) - 20S1016 Msimbo wa NFPA : H 3; F 4; R 0; |
Isodhurika kwa moto. Baridi.
| |||||||
| ||||||||
| |||
| DATA MUHIMU | |||
|
HALI MAUMBILE; INAVYOONEKANA: GESI ISO HARUFU, ISO RANGI ILIYOBANWA HATARI KWA MWILI: Gesi hii huchanganyika vema na hewa, mchanganyiko unaolipuka hutokea kwa urahisi. The gas penetrates easily through walls and ceilings. HATARI ZA KIKEMIKALI: In the presence of finely dispersed metal powders the substance forms toxic and flammable carbonyls. May react vigorously with oxygen, acetylene, chlorine, fluorine, nitrous oxide. VIKOMO VYA MFIDUO WA KAZI (OELS): TLV: 25 ppm kama TWA; BEI imetolewa; (ACGIH 2004). MAK: 30 ppm, 35 mg/m³; Aina ya kiwango cha juu: II(1); Kundi la waja wazito lililo hatarini: B; (DFG 2004). |
NJIA ZA MFIDUO: Dutu hii huweza kufyonzwa ndani ya mwili kwa kuvuta pumzi. HATARI ZA KUVUTA PUMZI: Ukolezi unaodhuru wa gesi hii hewani utafikiwa kwa haraka sana isipodhibitiwa. ATHARI ZA MFIDUO WA MUDA MFUPI: Dutu hii huweza kuathiri damu, mfumo wa moyo na mishipa na mfumo mkuu wa neva. Mfiduo wa viwango vya juu huweza kuleta kupoteza fahamu na kifo. Uchunguzi wa kitibabu unahitajika. ATHARI ZA MFIDUO WA MUDA MREFU AU UNAORUDIWA: Dutu hii huweza kuathiri mfumo wa neva na mfumo wa moyo na mishipa, kusababisha ugonjwa wa moyo na neva. Yakisiwa kusababisha madhara ya uzazi kama vile mishipa ya fahamu, uzito mdogo wa kuzaliwa, kuongezeka kuzaa kabla ya wakati, na hitilafu katika maumbile ya moyo. | ||
| TABIA ZA KIMAUMBILE | |||
|
Kiwango mchemko: -191°C Kiwango myeyuko: -205°C Umumunyifu katika maji, ml/100 ml ifikapo 20°C: 2.3 Uzitowiani wa mvuke (hewa = 1): 0.97 |
Kiwango cha kumweka: gesi iunguayo Jotoridi la kujiwasha: 605°C Vikomo vya kilipukaji, % ujazo katika hewa: 12.5-74.2 | ||
| DATA YA MAZINGIRA | |||
|
| |||
| VIDOKEZO | |||
|
Carbon monoxide is a product of incomplete combustion of coal, oil, wood. It is present in vehicle exhaust and tobacco smoke. Kutegemeana na kiasi cha mfiduo, upimaji wa kitibabu wa mara kwa mara unahitajika. Hakuna onyo la harufu iwapo kuna vikolezi vya kitoksini.
| |||
| MAELEZO YA ZIADA | |||
|
| |||
| |||
| © IPCS, CEC 2005 | |||